Jumatano, 8 Oktoba 2014

KILA JAMBO LINA KUSUDI-TAFAKARI HILI!
Kutoka katika kitabu cha Matendo ya Mitume 16;16-40.
        16Siku moja, tulipokuwa tukienda mahali pa kusalia, tulikutana na mtumwa mmoja wa kike ambaye alikuwa na pepo wa uaguzi naye alikuwa amewapatia mabwana zake mapato makubwa ya fedha kwa ubashiri. 17Huyu mtumwa wa kike alikuwa akimfuata Paulo na sisi akipiga kelele, “Watu hawa ni watumishi wa Mungu Aliye Juu Sana, wao wanawatangazieni njia ya wokovu.” 18Akaendelea kufanya hivi kwa siku nyingi, lakini Paulo akiwa ameudhika sana, akageuka na kumwambia yule pepo, “Ninakuamuru katika jina la Yesu Kristo, umtoke!” Yule pepo akamtoka saa ile ile.
19Basi mabwana wa yule mtumwa wa kike walipoona kuwa tumaini lao la kuendelea kujipatia fedha limetoweka, wakawakamata Paulo na Sila wakawaburuta mpaka sokoni mbele ya viongozi wa mji. 20Baada ya kuwafikisha mbele ya mahakimu wakawashtaki wakisema, “Hawa watu wanaleta ghasia katika mji wetu, nao ni Wayahudi. 21Wanafundisha desturi ambazo sisi raia wa Kirumi hatuwezi kuzikubali au kuzitimiza.”
22Umati wa watu waliokuwepo wakajiunga katika kuwashambulia na wale mahakimu wakawaamuru wavuliwe nguo zao wakatoa amri Paulo na Sila wachapwe viboko. 23Baada ya kuchapwa sana wakatupwa gerezani na kumwagiza mkuu wa gereza awalinde kikamilifu, 24kwa kufuata maelekezo haya, yule mkuu wa gereza akawaweka katika chumba cha ndani sana mle gerezani na akawafunga miguu yao kwa minyororo.
25Ilipokaribia usiku wa manane, Paulo na Sila walikuwa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, nao wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza. 26Ghafla pakatokea tetemeko kubwa la ardhi, hata msingi wa gereza ukatikisika. Mara milango ya gereza ikafunguka na ile minyororo iliyowafunga kila mmoja ikafunguka. 27Yule mkuu wa gereza alipoamka na kuona milango ya gereza iko wazi, akachomoa upanga wake akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wote wametoroka. 28Lakini Paulo akapiga kelele kwa sauti kubwa, akasema, “Usijidhuru kwa maana sisi sote tuko hapa!”
29Yule askari wa gereza akaagiza taa ziletwe, akaingia ndani ya kile chumba cha gereza, akapiga magoti akitetemeka mbele ya Paulo na Sila. 30Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini ili nipata kuokoka?”
31Wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka, pamoja na wa nyumbani mwako.” 32Wakamwaambia neno la Bwana yeye pamoja na wote waliokuwako nyumbani mwake. 33Wakati ule ule yule mkuu wa gereza akawachukua akawaosha majeraha yao, kisha akabatizwa yeye pamoja na wote waliokuwa nyumbani mwake bila kuchelewa. 34Akawapandisha nyumbani mwake akawaandalia meza mbele yao, yeye pamoja na wa nyumbani mwake wote wakafurahi sana kwa kuwa amemwamini Mungu.
35Kulipopambazuka wale mahakimu wakawatuma maafisa wao kwa mkuu wa gereza wakiwa na agizo linalosema, “wafungue wale watu, waache waende zao.” 36“Mahakimu wametuma niwaache huru, kwa hiyo tokeni.”
37Lakini Paulo akawaambia wale maafisa, “Wametupiga hadharani bila kutufanyia mashtaka na kutuhoji, nao wakatutupa gerezani, hata ingawa sisi ni raia wa Rumi. Nao sasa wanataka kututoa gerezani kwa siri? Kweli hapana! Wao na waje wenyewe watutoe humu gerezani.”
38Wale maafisa wakarudi na kuwaambia wale mahakimu maneno haya, wakaogopa sana walipofahamu kuwa Paulo na Sila ni raia wa Rumi. 39Kwa hiyo wakaja wakawaomba msamaha, wakawatoa gerezani, wakawaomba waondoke katika ule mji. 40Baada ya Paulo na Sila kutoka gerezani walikwenda nyumbani kwa Lidia, ambapo walikutana na wale ndugu walioamini, wakawatia moyo, ndipo wakaondoka.
KATIKA MAANDIKO HAYA TUNAJIFUNZA YAFUATAYO;
1.Maisha ya maombi;
Ø  Mstari wa 16; “Siku moja, tulipokuwa tukienda mahali pa kusalia” ina maana ilikuwa ni desturi yao kusali ndio maana mahali pao pa kusalia palikuwa panafahamika.tujifunze kutokana nao tusiacha kukusanyika kila itwaapo leo! Soma  Ebrania 10;25.
2.Unaweza ukawa unampatia faida mtu au shetani kwa kujua ama kutokujua.(yaani sheani kukutumikisha na kujipatia faida kupitia wewe).
Mstari wa 16 “tulikutana na mtumwa mmoja wa kike ambaye alikuwa na pepo wa uaguzi naye alikuwa amewapatia mabwana zake mapato makubwa ya fedha kwa ubashiri”.Biblia hajaweka wazi kama yule mama alikuwa anajielewa kuwa anatumika kuwapatia faida mabwana zake au la na pia kwenye hiyo faida iliyokuwa ikipatikana alikuwa na fungu lake au la na vitu kama hivyo!
Pia unavyoenda kwa waganga ni kwamba shetani amekuweka wewe kuwa kitega uchumi wewe ni mradi kwa waganga maana unavyowapatia fedha unawapatia faida na hawawezi kukupa Amani watakupa utulivu tu. Maana hutapona na hatimaye utakuwa “dependant” kwao.Achana nao!
3.Si kila anayekusifia au kukunadi ana roho nzuri.
Ø  Mstari wa 17 Huyu mtumwa wa kike alikuwa akimfuata Paulo na sisi akipiga kelele, “Watu hawa ni watumishi wa Mungu Aliye Juu Sana, wao wanawatangazieni njia ya wokovu.” Ukiangalia maneno aliyokuwa akiyasema yule mwanamke ni mazuri tu! Hayana matusi wala si ya kipuuzi lakini……yahitaji macho ya roho kuyajua haya!. kwa hiyo mpenzi msomaji wangu shetani anaweza kukupumbaza kwa sifa fulani lakini tunahitaji hekima na Roho Mtakatifu kuzitambua kila hila za mwovu kama Paulo alivyotambua ile roho chafu.
4.Kuzitambua roho.
Ø  Mstari wa 18“lakini Paulo akiwa ameudhika sana, akageuka na kumwambia yule pepo, “Ninakuamuru katika jina la Yesu Kristo, umtoke!” Yule pepo akamtoka saa ile ile. Ok kwanini Paulo audhike au asikitike kama yule si roho mchafu?. Ukisoma Biblia nyingine ianasema Paulo akasikitika.Mimi naweza kusema alikosa Amani,kwa hiyo kama kuja jambo linafanyika nawe unakosa Amani au unasikitika au unaudhika ujue hakuna usalama hapo.Kwa hiyo unaweza kukemea kama Paulo au hata kimoyomoyo na uataona matokeo.
5.Nguvu za jina la Yesu na mamlaka ndani yako.
Ø  Mstari wa 18. “Ninakuamuru katika jina la Yesu Kristo, umtoke!”.Tumia jina la Yesu maana lina nguvu,ya kuzishinda nguvu zote za giza pia umepewa mamlaka ya kukanyaga nge na nyoka.Na nguvu yoyote ya giza lazima itii mara si kubembeleza pepo kwa muda mrefu,hiyo ni shida ambayo lazima tuepuke,maana biblia inasema “Yule pepo akamtoka saa ile ile”lakini kwa namna nyingine tunaweza tukasema akamtoka dakika ile ile au sekunde ile ile.
6.Unapofanya “impact” kweli ulimwengu wa giza tegemea vita “either” kimwili au kiroho.
Ø  Mstari wa 19 “Basi mabwana wa yule mtumwa wa kike walipoona kuwa tumaini lao la kuendelea kujipatia fedha limetoweka, wakawakamata Paulo na Sila wakawaburuta mpaka sokoni mbele ya viongozi wa mji.”Hizi tunaweza kuita roho za malipizi na visasi maana shetani anakuwa hajafurahi.Nuru ikiingia giza hukimbia tena huchukia. Zikija huna budi ya kuendelea kusimama imara maana mwingine anaweza kunung’unika kuwa nimefanya kazi ya Mungu lakini bado yamenipata! Kwanini?........kwanini Mungu ameniacha?......hapana Mungu bado yuko nawe hajakuacha. Ila “LIPO KUSUDI KWA HAYO UNAYOPITIA”.Hivyo endelea kumtegemea Mungu,kuomba msaada wake kwa hayo na ulinzi wake.
7.Unaweza kuzushiwa kwa mambo yasiyokuwa kweli.
Ø  Mstari wa 20 Baada ya kuwafikisha mbele ya mahakimu wakawashtaki wakisema, “Hawa watu wanaleta ghasia katika mji wetu, nao ni Wayahudi. 21Wanafundisha desturi ambazo sisi raia wa Kirumi hatuwezi kuzikubali au kuzitimiza.”Ki-ukweli akina Paulo hawakuleta ghasia nao walikuwa si wayahudi maana mstari wa 38 “Wale maafisa wakarudi na kuwaambia wale mahakimu maneno haya, wakaogopa sana walipofahamu kuwa Paulo na Sila ni raia wa Rumi”. Tena unaweza kudhalilishwa lakini bila kosa mstari 22 “Umati wa watu waliokuwepo wakajiunga katika kuwashambulia na wale mahakimu wakawaamuru wavuliwe nguo zao wakatoa amri Paulo na Sila wachapwe viboko”.
8. Siyo kila aliyeko jela ana hatia.
Ø  Mstari wa 23.Baada ya kuchapwa sana wakatupwa gerezani na kumwagiza mkuu wa gereza awalinde kikamilifu.ukweli walikuwa hawana hatia, hata kama huko gerezani walipata nafasi ya kuulizana kuwa “imekuwaje ndugu umefika hapa?”wafungwa wangesema tuliiba,tuliua,tulibaka,tulikwapua simu…..n.k bali wao wangesema ni Yesu tu.ehee ni Yesu?.........ki vipi yaani? Ndipo wangesema,Tulimtoa mwanamke mmoja pepo kwa jina la Yesu ndio maana tuko hapa…….! Haa! Mbona hilo halipo kwenye sharia wali si kosa bali ni jambo jema(wangeshangaa). Tena akina Paulo walihukumiwa Zaidi ya wale wengine maana mstari wa 23 “Baada ya kuchapwa sana wakatupwa gerezani na kumwagiza mkuu wa gereza awalinde kikamilifu, 24kwa kufuata maelekezo haya, yule mkuu wa gereza akawaweka katika chumba cha ndani sana mle gerezani na akawafunga miguu yao kwa minyororo”
9.Nguvu ya maombi na kusifu.
Ø  Mungu ameketi katika sifa kwa hiyo unaposifu unakuwa ume “put on button”ya Mungu kuonekana kwako na akionekana lazima wewe uguswe tu kwa namna yoyote.Soma mstari 25 “Ilipokaribia usiku wa manane, Paulo na Sila walikuwa wakiomba na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, nao wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza. 26Ghafla pakatokea tetemeko kubwa la ardhi, hata msingi wa gereza ukatikisika. Mara milango ya gereza ikafunguka na ile minyororo iliyowafunga kila mmoja ikafunguka”.
9.Njia ya wokovu ni kumwamini Yesu Kristo.
Ø  Yule mkuu wa gereza aliuliza mstari wa 30 Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini ili nipata kuokoka?” nao wakamjibu mstari 31Wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka, pamoja na wa nyumbani mwako.”soma pia Warumi 10;9-10.
10. Mungu akikuokoa anakuokao wewe na nyumba yako.
Ø  Nao wakamjibu mstari 31 “Wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka, pamoja na wa nyumbani mwako”.kwa hiyo kama Mungu amekupa neema ya wokovu muombe pia aokoe na ndugu zako pia, ni raha sana!

KINGINE TUNACHOJIFUNZA KATIKA MAANDIKO HAYA.
Ø  Usiwaombee mabaya wanaokuudhi bali waombee mema.Hatujasoma wala kuona kama akina Paulo waliwalaani au kuawaombea mabaya wale mabwana na makadhi.
Ø  Ukilibeba jina la Yesu jiandae kwa mapambano na vita,lakini ushindi upo kwa tunashinda na Zaidi ya kushinda kwa Yeye atutiaye Nguvu na akiwa upande wetu na aweza kuwa juu yetu?........
Ø  Si roho zote zinazomkiri Mungu zinatoka kwake,unaweza kuzijua kwa kukemea kama Paulo alivyofanya,unaweza kukemea hata kimoyo moyo na utaona matokeo yake,lakini hata kabla hujakemea utaona kuwa unakosa Amani.
Ø  KILA KITU KINA KUSUDI LAKE.Hapa tunaona watu wakihubiriwa,pepo wakitoka,mkuu wa gereza aokoka na nyumba yake, Zaidi Mungu anatukuzwa.

NAMUOMBA ROHO MTAKATIFU AKUSAIDIE ZAIDI KUTAFAKARI HAYA!. MUNGU AKUBARIKI TUONANE KWA MARA NYINGINE WAKATI MWINGINE………………………………………AMENI!..................................................................................................

Ijumaa, 3 Oktoba 2014

WASIFU WA DR. MYLES MUNROE

DR. MYLES E. MUNROE
Leader, Consultant, Professional Coach, Mentor Motivational Speaker, Corporate Trainer, Spiritual Leader, Advisor, Educator, Bestselling Author, Master Teacher, Media Host:“Transforming followers into Leaders and Leaders into Agents of Change”
MYLES MUNROE is an International Motivational Speaker, Consultant, Leadership Coach, Government Advisor, Business and Corporate Trainer, Spiritual Leader, Media host and Educator was chosen as one of the Top 20 voices of influence in the world by GT Magazine survey.
Dr. Munroe is a Multi-­‐Gifted Motivational speaker,Conference Facilitator and Government Consultant and Businessman also serves a Leadership Coach, Mentor and Inspirational Leader
to Millions around the world.
Travelling
extensively
to
over
90
nations
his
global
reach
influences
all
level
of
society
and
his
Inspirational
message
of
positive
self-­‐discovery,
personal
leadership,
unlimited
Potential
and
the
discovery
of
Personal
Purpose
has,
and
continues
to
transform
millions
around
the
world.
2
Dr.
Munroe
is
a
prolific
author
of
over
55
books
and
is
known
for
his
powerful
life-­‐
changing
Bestselling
Books
with
millions
distributed
around
the
world
in
many
languages.
Millions
have
testified
of
the
impact
of
his
writings
and
the
practical
nature
of
his
works.
A
Media
Personality
for
over
30
years,
Dr.
Munroe’s
Television
and
Radio
programs
also
cover
over
1
billion
people
around
the
world
and
is
seen
on
every
continent
from
which
he
receives
thousands
of
responses
weekly.
Dr.
Munroe
is
also
the
founder
and
Chairman
of
the
INTERNATIONAL
THIRD
WORLD
LEADERS
ASSOCITATION
(ITWLA),
a
global
Network
of
leaders
in
over
80
nations
of
the
world
and
founder
and
President
of
the
INTERNATIONAL
LEADERSHIP
TRANING
INSTITUTE
(ILTI).
He
is
also
Founder
and
President
of
MYLES
MUNROE
INTERNATIONAL
(MMI).
Dr.
Munroe
is
also
founder
of
Chairman
of
DIPLOMAT
DEVELOPMENT
AND
INVESTMENT
COMPANY
(DDIC).
Dr.
Munroe
ad
his
Wife
are
enjoying
over
34
year
marriage
and
are
parents
of
two
successful
young
Leaders,
daughter
Charisa
Munroe
(
BS,MSS,
MBA)
and
son
Myles
“Chairo”
Jr.
(BA,
MBA).
PRESENT
IMPACT-­‐
COMPLETE
SUMMARY
Dr.
Munroe
is
respected
internationally
as
an
author,
lecturer,
teacher,
and
coach
and
leadership
mentor.
For
over
thirty
years
he
has
trained
thousands
of
leaders
in
business,
industry,
education,
government,
and
religion.
He
addresses
audiences
of
over
500,000
each
year
on
personal
and
professional
development.
Annually,
he
is
a
sought-­‐after
keynote
speaker
for
hundreds
of
conferences,
seminars
and
training
workshops
by
governments,
corporate
companies,
non-­‐profit
organizations,
churches,
schools
and
Universities
from
over
70
nations.
AWARDS
Dr.
Munroe
was
the
Bahamas
youngest
recipient
of
the
Order
of
the
British
Empire
Award
(OBE)
which
was
bestowed
by
the
Queen
of
England,
her
majesty
Queen
3
Elizabeth
II,
and
also
the
youngest
recipient
of
the
Silver
Jubilee
Award,
the
highest
award
bestowed
by
the
Government
of
the
Bahamas
both
for
his
contribution
to
civic,
social
and
spiritual
development
of
his
nation
and
the
Caribbean
region.
Dr.
Munroe
is
also
the
recipient
of
the
Trumpet
Awards
bestowed
by
the
CNN
Ted
Turner
sponsored
corporation,
the
Trumpet
Awards
Organization
for
his
contribution
to
global
spiritual
development.
HISTORY
AND
INFLUENCE
Dr.
Myles
Munroe
was
born
in
Bain’s
Town,
a
low
income
area
in
New
Providence,
Nassau
Bahamas
to
a
family
of
eleven
children,
April
20,
1954,
but
overcame
unbelievable
odds
to
emerge
as
a
global
leader
of
leaders
as
a
renowned
professional
speaker,
author,
and
television
personality.
Dr.
Myles
Munroe
has
risen
to
International
prominence
delivering
a
high
energy
message
that
impacts
the
spirit
and
mind
resulting
in
thousands
of
testimonies
from
over
100
nations.
Traveling
extensively
throughout
the
world
to
over
100
nations
on
five
continents,
Dr.
Munroe
addresses
critical
and
relevant
issues
affecting
the
full
range
of
human
social,
cultural,
economic,
spiritual
and
personal
development.
The
motivational
passion
and
vision
of
Dr.
Munroe
is
to
“Transform
Followers
into
Leaders
and
Leaders
into
agents
of
change.”
Dr.
Munroe’s
message
and
desire
to
help
others
maximize
their
individual
potential
transcends
barriers
of
age,
culture,
religion,
occupation,
race
and
creeds.
The
central
theme
of
Dr.
Myles
Munroe’s
message
is
the
discovery
and
manifestation
of
Personal
Leadership
Potential,
Management,
Purpose,
Authority,
Spiritual
Balance,
Personal
and
Professional
Relationships,
and
Vision.
He
has
shared
the
platform
with
such
distinguished
individuals
as
Presidents,
Prime
Ministers,
Monarchs,
Governors,
Corporate
Leaders,
Religious
Leaders,
Members
of
Congress,
Senators,
Law
Enforcements
Agencies,
Judicial
Leaders,
Hollywood
Stars
and
professional
Athletes.
He
has
addressed
live
audiences
from
30
to
over
1.2
million
and
television
audiences
of
over
1.4
billion.
4
MEDIA
AND
WRITING
Dr.
Munroe
is
founder
and
producer
of
numerous
radio
and
television
programs
aired
worldwide
and
is
a
contributing
writer
for
various
Bible
editions,
magazines,
journals,
periodicals
and
Newsletters
including;
The
believers
Topical
Bible,
The
African
Cultural
Heritage
Bible,
Charisma
Life
Christian
Magazine,
Ministries
Today,
Leadership
and
Lifestyle
(London),
The
Voice
and
Leadership
Update,
Igreja
(Brazil,
Purpose
magazine
and
many
others.
.
CLIENT
LIST
Profoundly
affecting
the
lives
of
millions
Myles
Munroe
has
a
distinguished
client
list
that
includes
small,
mid-­‐sized
Businesses,
Fortune
500
Companies,
the
U.S
Government,
Bahamas
Government,
Trinidad
Government,
Jamaican
Government,
Philippines
Government,
South
African
Government,
Turks
and
Caicos
Government,
Zambian
Government,
Nigerian
Government,
Government
of
Israel,
Government
of
Bermuda
and
other
Government
Agencies,
Churches,
Universities,
Schools,
and
Non-­‐
Profit
and
Athletic
organizations.
(See
additional
listing
below).
PUBLISHING
In
addition
Dr.
Munroe
as
a
bestselling
author
of
over
60
books
offers
celebrated
educational
products,
CDs,
DVDs,
tapes,
videos
and
workbooks
on
Personal
Growth,
Leadership,
Management,
Vision,
Faith
and
Spiritual
development,
Family
and
Relationships,
and
Success
Principles.
Twenty
of
his
have
made
it
to
the
bestselling
list.
His
books,
audio
and
video
tapes
have
been
translated
into
40
languages
and
dialects
including
Spanish,
French,
Korean,
Finnish,
Russian,
Ukrainian,
Portuguese
and
Chinese.
Bestselling
works
include;
In
Pursuit
of
Purpose,
Understanding
Your
Potential,
Releasing
your
Potential,
Maximizing
Your
Potential,
Becoming
a
Leader,
The
Spirit
of
Leadership,
The
Power
of
Vision,
Rediscovering
the
Kingdom,
The
Power
of
Woman,
The
Power
and
Purpose
of
Men,
The
Purpose
for
Love
and
Marriage,
The
Glory
of
Living,
The
Burden
5
of
Freedom
and
most
recent
releases,
God’s
Big
Idea
and
‘In
Charge’,
Benefits
of
Change,
Becoming
a
Leader,
Passing
it
On,
and
others.
MEDIA
Dr.
Munroe’s
His
television
and
radio
programs
“Effective
Living”,
is
carried
by
many
cable
networks
and
continues
to
impact
over
one
billion
people
weekly
including
Trinity
Broadcasting
Network
(TBN),
Inspirational
Network
(INSP),
Cornerstone
Television
Network
(CTN),
The
God
Channel,
the
Christian
Broadcasting
Network
(CBN),
The
Christian
Television
Network
(CTN),
Revelation
Television
(RTV),
South
African
Broadcasting
Corp.
(SABC),
Bahamas
Broadcasting
Corporation
Television
(BCB-­‐ZNSTV),
Trinidad
Television
Network
(TNT)
and
Crossroad’s
100
Huntley
in
Canada
.
He
continues
to
be
interviewed
on
international
Networks
and
has
appeared
on
BET,
Travis
Smiley
Program,
CBN’s
Pat
Robertson,
CTN’s
Glen
Plumber
and
TBN’s
Paul
Crouch.
EDUCATION
AND
COMMUNITY
SERVICE
Dr.
Munroe
has
earned
BA
and
MA
degrees
from
Oral
Roberts
University
and
the
University
of
Tulsa
and
received
over
5
Honorary
Doctoral
degrees
from
leading
Universities
in
the
United
States,
Canada,
and
Africa.
He
also
served
as
adjunct
professor
of
the
Graduate
level
at
Oral
Roberts
University
Dr.
Munroe
served
as
an
officer
and
board
member
of
several
corporations
including,
Colina-­‐Imperial
Financial
&
Insurance
Corp,
Chairman
of
the
Princess
Margaret
Hospital
Foundation,
Board
of
Regents
of
Oral
Robert
University,
International
Charismatic
Bible
Ministries,
Bahamas
Government
Religious
Tourism
Board,
the
University
of
Ft.
Lauderdale,
and
Chairman
of
the
Bahamas
Princess
Margaret
Hospital
Foundation.
FAMILY
MAN
Dr.
Munroe
and
his
wife
Ruth,
who
is
also
a
public
speaker
addressing
women’s
issues,
travel
as
a
team
and
are
involved
in
teaching
seminars
together.
Myles
and
Ruth
married
for
over
34
years
are
the
proud
parents
of
two
college
graduates,
Charisa
Munroe
(BS,
MSS)
and
Myles
“Chairo”
Jr.
(BS,MBA)
6
“Transforming Followers into Leaders and Leaders into agents of
change”


“Transforming Followers into Leaders and Leaders into agents of
change”
Quotes by Dr. Myles Munroe…
“The wealthiest spot on earth is not the oil fields, the gold or diamonds mines…but the cemetery”
“The greatest tragedy of Life is not death, but life without a purpose.”
“Where purpose is not known abuse is inevitable.”
“Buried in the cemetery are books that were never written, songs that were never sung, paintings
that were never painted, and poetry that was never read...”
“The goal of life for every human being is to die empty…”
“Trapped in every follower is a hidden leader”
“Leadership is the capacity to influence others through inspiration generated by a passion
motivated by a vision produced by a vision ignited by a purpose”
“Great leaders never desire to lead but to serve”
“True leaders never seek followers, followers seek true leaders.”
“True leaders make themselves increasingly unnecessary.”
“Marriage is like an omelet, it is only as good as the eggs.”
“A successful marriage is the product of two people being successfully single.”
“The greatest threat to personal progress is your last success”
“The greatest threat to all you can be is satisfaction with who you are.”
“Leave your success and go create another. That’s the only way you will maximize your
potential.”
“Life without purpose is time without meaning.”
“Time is an interruption in eternity and a measure of forever.”
“You cannot live beyond your thoughts and convictions.”
“Leadership is becoming your true self for the benefit of others.”
“The potential of a thing is determined by the demands made on it by the one who made it.”

Alhamisi, 2 Oktoba 2014

TAMBUA WEWE NI NANI KTK ULIMWENGU WA  ROHO NA MWILI!
           Wakristo wengi siku hizi wanaishi bila kutambua haki na wajibu wao kwa Mungu, hii imeleta shida kwenye  wokovu wao hata wakaona kuwa wokovu ni mzigo. shetani naye amewapofusha macho wasije wakajua siri ya uwezo na ukuu walionao.Je wajua wewe ni nani?, Na una nafasi gani katika ulimwengu wa roho na mwili ? unajionaje? Wewe ni mshindi au umeshindwa? Je wewe ni dhaifu au mzima? Wewe ni masikini au tajiri? Neno linasema unavyojiona ndivyo utakavyokuwa- Mithali 23;7 unajitamkiaje? Unasema wewe u nani? Neno linasema mtu anakula matunda ya kinywa chake -Mithali 18;20,21 acha kukuri vibaya hata kama unajiona ni dhaifu sema mimi ni hodari Yoeli 3;10.Mara nyingine tunapotea kwa kutokuyajua maandiko wala uweza wa Mungu.Yesu akawajibu, “Mwapotoka kwa sababu hamjui maandiko wala uweza wa Mungu.Mathayo 22;29, Marko 12;24. Hebu tuone sala ya Paulo kwetu Efeso 1;18-23.Kumbuka kila neno lililoandikwa kwenye biblia ni kwa ajili yetu , Paulo anatuombea anasema;
        “Ninaomba kwamba macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mjue tumaini la mwito wake jinsi lilivyo: na utajiri wa utukufu wa urithi wake katika watakatifu jinsi ulivyo, na ubora wa ukuu wa uweza wake ndani yetu tuaminio jinsi ulivyo; kwa kadiri ya utendaji wa nguvu za uwezo wake: aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa roho; juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka, na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia; akivitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa; ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.”
          Maneno haya yanatuambia kwamba Kristo alifufuka na kukalia kiti cha enzi cha Mungu., Je, wajua kwamba unatawala pamoja naye katika huo ulimwengu wa roho? Paulo anathibitisha jambo hili katika ufasaha kwenye maandiko mengine mawili: “akatufufua pamoja naye, katuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu” (Waefeso 2:6); “na ninyimmetimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na mamlaka(Wakolosai 2:10).
         Nataka nikukumbushe mambo ambayo bibilia imesema kutuhusu kuwa sisi ni nani? Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkidumu katika maneno Yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli. Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.’’Yoh 8 31, 32. Hapo sina la kuongezea lakini naamini umejua kuwa kweli (neno) ikilijua linakuweka huru. Bwana Yesu asifiwe!.



MAMBO  YANAYOTUTAMBULISHA.

Ø WEWE NI UZAO MTEULE;.

Je unajua hilo “sema mimi ni uzao mteule” Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungeliwapenda kama vile unavyowapenda walio wake. Kwa sababu ninyi si wa ulimwengu, lakini Mimi nimewachagua kutoka katika ulimwengu, hii ndiyo sababu ulimwengu unawachukia. Yoh 15;19
Si ninyi mlionichagua, bali Mimi ndiye niliyewachagua ninyi na kuwaweka mwende mkazae matunda na matunda yenu yapate kudumu, ili lo lote mtakalomwomba Baba katika Jina Langu, awape.Yoh 15;16
          Lakini ninyi ni taifa teule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu la Mungu, mlioitwa ili kutangaza sifa Zake Yeye aliyewaita kutoka gizani mkaingie katika nuru Yake ya ajabu. Mwanzo ninyi mlikuwa si taifa, lakini sasa ninyi ni taifa la Mungu. Mwanzo mlikuwa hamkupata rehema, lakini sansa mmepata rehema. 1pet 2;9.
Kwa maana alituokoa kutoka katika ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana Wake mpendwa, kol 1;13.

Kwa hiyo sisi tumehamishwa kutoka kwenye mambo ya dunia na kuingizwa katika ufalme au uraia mwingine ( katika ulimwengu war oho), japo bado tunaishi duniani lakini wenyeji wetu ni mbinguni, sawasawa na mtu anayeishi Malawi lakini ni mwenyeji wa Tanzania haimaanishi  yeye ni mmalawi. Kwahiyo usizifuate tabia za wamalawi yafikirini yaliyo juu siyo chini. Amen.
    Ikiwa umeokoka, tembea ukijua wewe ni tofauti na wengine na si lazima ufanye kila linalofanywa na wengine maana mengine si yanyoruhusiwa kwenye utaifa au uraia wako!, na kwa kufanya hivyo ulimwengu utakuchukia ,sisemi ujivune au ujibague  bali ujue kuwa kuna mambo ambayo watu wengine watafanya lakini wewe hutafanya maana una “speed governor” inayokuongoza na hii yamkini itasababisha ulimwengu kukuchukia! Take care, weka moja kichwani!!.

Ø WEWE NI MTAKATIFU;

“sema mimi ni mtakatifu’ mtakuwa watakatifu kama mimi nilivyo mtakatifu Lawi 19;2 mahali pengine anasema mtakuwa wakamilifu maana mimi ni mkamilifu pia biblia inasema katika zaburi- watakatifu waliopo duniani ndio ninao pendezwa nao.Pokea ahadi hiyo ni yako jua unayezungumziwa ni wewe mototo wa mungu usione hili neno aliyeandikiwa nimwingine, ni wewe mwenyewe. Kama unaamini kuwa una roho mtakatifu basi pia amini kuwa wewe ni mtakatifu kwa sababu roho mtakatifu hakai mahali palipo pachafu. Kwa habari ya Watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao. Zab 16;3 kama wewe hutaki kujikubali kuna watu Mungu anawakubali na unavyo jiona ndivyo utakavyo kuwa kumbuka hilo pia. Kwa hiyo iweni wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.’’Mathayo 5;48. Mpendwa umeshakombolewa na kusafishwa kwa damu yake ambayo haikumwagika bure bali ni kwa kututakasa . Katika Yeye tunao ukombozi kwa njia ya damu Yake, yaani, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema Yake Efeso1;7,4.
                                                                                 
Ø WEWE NI MWANA AU MTOTO WA MUNGU;

          Wewe si mtu wa Mungu bali u mwana! “sema nimefanyika kuwa mwana na nimehesabiwa haki”. Bali wote waliompokea, aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio Jina Lake. Hawa watoto wamezaliwa si kwa damu wala kwa mapenzi ya mwili au kwa mapenzi ya mtu, bali kwa mapenzi ya Mungu. Yoh 1;12
        Naamini na wewe unafanya hivyo yaani ulimpokea na unaamini,basi umefanyika kuwa mwana na kama ujuavyo mtoto wa kondoo ni kondoo, na mwana wa Mungu ni mungu mdogo!Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu ya kwamba sisi tu watoto wa Mungu.  Basi ikiwa sisi ni watoto, basi tu warithi, warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo, naam, tukiteswa pamoja Naye tupate pia kutukuzwa pamoja .Rum 8;16 sisi warithi wa Mungu walithio pamoja na Kristo,kwa hiyo sisi sio watoto wa kambo kwa Mungu bali ni wana na ndio maana ni warithi pamoja na Kristo maana mtoto hana fursa ya kurithi.
 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio watoto wa Mungu.Rum 8;14 Je wewe unaongozwa na roho? Kama ni jibu ni ndiyo-safi! maana wewe ni mwana wa Mungu.
       Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ndiye Kristo amezaliwa na Mungu na ye yote ampendaye Baba humpenda pia mtoto aliyezaliwa naye.Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri Zake.Kwa kuwa huu ndio upendo wa Mungu, kwamba tuzitii amri Zake. Nazo amri Zake si nzito.Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kuushinda kuushindako ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu.Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.1yoh 5;1-4
           Oneni ni pendo kuu namna gani alilotupa Baba, kwamba sisi tuitwe watoto wa Mungu! Nasi ndivyo tulivyo. Sababu kwa nini ulimwengu haututambui, ni kwa kuwa haukumtambua Yeye. 1yoh 3;1
Ninyi ni rafiki Zangu mkifanya ninayowaamuru. Siwaiti ninyi watumishi tena, kwa sababu watumishi hawajui bwana wao analofanya, bali nimewaita ninyi rafiki, kwa maana nimewajulisha mambo yote niliyoyasikia kutoka kwa Baba Yangu.Yoh 15;14,15. Kwa hiyo kwetu Yesu ni Baba pia ni rafiki.
                                                                                                                            

Ø WE NI KUHANI NA MFALME ;

Sema mimi ni kuhani tena ni mfalme”unajua kazi ya kuhani namfalme? Najua unajua lakini makuhani enzi hizo ni watu ambao ndio tu waliokuwa wakirusiwa kuingia patakatifu lakini sasa nasi tumefanyika kuwa makuhani tunapaingia patakatifu kwa damu ya Yesu! Ufunuo 5;10 ,1;6 lakini kama ujuavyo mfalme ni mtu mwenye mamlaka, hatutegemei  mfame akiomba bali anaamuru Bwana Yesu asifiwe!.Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani wa kumtumikia Mungu wetu,  nao watamiliki katika dunia.’’ Ninyi mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa Israeli.  Kutoka19;6 . Nabii Isaya alikuwa ameona akasema, Nanyi mtaitwa makuhani wa BWANA,mtaitwa watumishi wa Mungu wetu.  Mtakula utajiri wa mataifa, nanyi katika utajiri wao mtajisifu.Isaya 61 ;6

Ø WEWE NI KIUMBE KIPYA;

 Ya kale yote  yamepita, iambie nafsi yako mimi ni kiumbe kipya! 2kor 5;17
Kwa hiyo kama mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya, ya kale yamepita, tazama, yamekuwa mapya. Kwa hiyo kuwa huru kwa mambo yaliyopita usikumbuke Misri wala usitamani nyama za Misri hata kama kuna dhambi kubwa ulitenda jua Mungu haikumbuki maana amesema uovu wenu sitaukumbuka kamwe kwa hiyo hajui dhambi uliyotenda na anakushangaa. Anasema dhambi zenu zitakuwa nyeupe. Nimesulibiwa pamoja na Kristo, wala si mimi tena ninayeishi bali Kristo ndiye aishiye ndani yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi kwa imani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda na kujitoa kwa ajili yangu Gal 2;20.

Ø UMEBARIKIWA PAMOJA NA IBRAHIMU!

Sema hivyo ili ule matunda ya midomo yako Gal3;9 Kwa sababu hii, wale wote wanaoamini wanabarikiwa pamoja na Abrahamu, mtu wa imani. Hiii ni kwa sababu wewe unaamini kama Ibrahimu aliyekuwa akimwamini Mungu. Rum8;17 Basi ikiwa sisi ni watoto, basi tu warithi, warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo, naam, tukiteswa pamoja Naye tupate pia kutukuzwa pamoja Naye.

Kwa hiyo, ahadi huja kwa njia ya imani, ili iwe ni kwa neema na itolewe kwa wazao wa Abrahamu, si kwa wale walio wa sheria peke yao bali pia kwa wale walio wa imani ya Abrahamu. Yeye ndiye baba yetu sisi sote. Rum 4;16 kwa hiyo lazima uamini na kuipokea ahadi hiyo ndipo itakuwa yako~maana anasema ahadi huja kwa njia ya Imani.
Kwa hiyo, wewe si mtumwa tena, bali ni mtoto, nawe ikiwa ni mtoto, basi wewe pia ni mrithi, mrithi wa Mungu. Gal 4;7


Ø UWEZO WA YESU NI UWEZO WAKO!

Sema nayaweza mambo yooote katika Yeye anitiayanguvu Fil 4;13
Nanyi ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu. .Rum 8;11 

 Yoh 14;12 Amin, amin, nawaambia, ye yote aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba.Efeso 1;20 na uweza Wake mkuu usiolinganishwa kwa ajili yetu sisi tuaminio. Uweza huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na ile nguvu kuu mno Mungu alitufufua pamoja na Kristo na kutuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu,Efeso 2;6

Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo aliyetubariki sisi kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho ndani ya Kristo. Efeso 1;3 hizi ni Baraka za rohoni ambazo ni kubwa kuliko zile za mwilini  ukiwa nazo hata kimwili umefanikiwa 3yoh 1;2 .13Tunajua kwamba twakaa ndani Yake na Yeye ndani yetu, kwa sababu ametupatia sisi sehemu ya Roho Wake. 1yoh 5;13

Ø WEWE UNA MAMLAKA;

“Nina mamlaka” Mathayo 16;19 Yesu akiisha kuwaita wale kumi na wawili pamoja, aliwapa mamalaka na uwezo wa kutoa pepo wachafu wote na kuponya magonjwa yote, kisha akawatuma waende wakahubiri Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa. Luka 9;1
Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. 3Nao Yoh 17;2
Tazama nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na ng’e na juu ya nguvu zote za adui, wala hakuna kitu cho chote kitakachowadhuru kwa namna yo yote.Luka 10;19

Ø WEWE NI MSHINDI;

Washindi Bwana Yesu asifiwe! Rum 6;14 1yoh 5;18 Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake, juu ya mti, ili kwamba,tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tupate kuishi katika haki. Kwa kupigwa kwake, ninyi mmeponywa.1pet2;24
Nanyi ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu. Rum 8;11
Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu. Mtu ye yote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo. Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi hai kwa sababu ya haki.Rum 8;9 na kwasababu Yesu alishinda kwa habari ya dhambi na mauti nasi vivyo hivyo nasi ni washindi kwani tunamwamini mshindi nay eye yuko ndani yetu!

Ø WEWE UNA UUNGU NDANI YAKO;

 Rum 8;29 Nanyi ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu. Rum 8;11 roho wa Mungu anakaa ndani yetu.
Uweza Wake wa uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake mwenyewe 2pet 1;3 Kisha BWANA akamwambia Mose, “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu kwa Farao, naye Aroni, huyo ndugu yako, atakuwa nabii wako. Kutoka 7;1

Ø WEWE NI NURU NA CHUMVI PIA;

Mathayo 5;14 Ninyi ni nuru ya ulimwengu.
 Yoh 8;12Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru katika Bwana. Enendeni kama watoto wa nuru (kwa kuwa tunda la nuru hupatikana katika wema wote, haki na kweli,) nanyi tafuteni yale yanayompendeza Bwana. Msishiriki matendo ya giza yasiyofaa, bali yafichueni.  Efeso 5;8-11. ‘‘Ninyi ni chumvi ya ulimwengu. Lakini chumvi ikipoteza ladha yake, yawezaje kurudishiwa ladha yake tena ? Haifai tena kwa kitu cho chote, ila kutupwa nje ikanyagwe na watu. Math 5;13

Ø WEWE NI TAJIRI;

2kor 8;9 Kwa maana mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ingawa alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikubali kuwa maskini, ili kwa umaskini Wake ninyi mpate kuwa matajiri.
 kol 1;13 1yoh 4;43 Ikiwa Mungu hakumhurumia Mwanawe, bali alimtoa kwa ajili yetu sote, atakosaje basi kutupatia vitu vyote kwa ukarimu pamoja Naye? Rum 8;32 Hivyo basi, mtu asijivune kuhusu wanadamu! Kwa kuwa vitu vyote ni vyenu, ikiwa ni Paulo au Apolo au Kefa au dunia au uzima au mauti, au wakati uliopo au wakati ujao, haya yote ni yenu na ninyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu. 1kor 3;21-23

                                                      
Ø WEWE NI HEKALU,KIUNGO NA TAWI;

Je, hamjui ya kwamba ninyi ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? Kama mtu ye yote akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza mtu huyo, Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu,
ambalo ndilo ninyi.1kor 3;16 Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya Kristo? 1kor 6;15. Miili yetu ni hekalu na si hekalu letu sisi bali ni la roho mtakatifu na tumeazimwa tu, bali tuifanyie kazi vizuri ili mmiliki (roho mtakatifu) afurahi siku zote!.Mahali pengine anasema mimi ni mzabibu nanyi ni matawi.

                                           
Ø WEWE NI RUNGU LA BWANA LA VITA;

Mungu anasema kuwa wewe ni Silaha yangu ya vita  kwa wewe navunjavunja mataifa,kwa wewe naangamiza falme, kwa wewe navunjavunja farasi na mpanda farasi, kwa wewe navunjavunja gari la vita na mwendeshaji wake, kwa wewe napondaponda mwanaume na mwanamke,  kwa wewe napondaponda mzee na kijana,  kwa wewe napondaponda kijana wa kiume  na mwanamwali,  kwa wewe nampondaponda mchungaji na  kundi, kwa wewe nampondaponda mkulima na maksai, kwa wewe nawapondaponda watawala na maafisa. “Mbele ya macho yako nitamlipiza Babeli na wote waishio Ukaldayo kwa ajili ya makosa yote waliyofanya katika Sayuni,’’ asema BWANA.Yer 51;20-24



v KUKIRI

Baba Mungu mfalme wa wafalme uketie mahali pa juu palipo inuka sana, asante kwa neno lako lililonifikia leo ili kunijulisha na kunikumbusha nafasi yangu ! Neno lako linasema nitakula matunda ya midomo yangu nami najitamkia na najitambua kuwa mimi ni uzao mteule,mimi ni mtakatifu, mimi ni tajiri,mimi ni mzima,mimi ni mshindi,mimi ni rungu lako Bwana,mimi ni chumvi na Nuru ya kuwaangazia wengine,mimi ni mshindi na nina mamlaka, mimi ni kuhani na mfalme katika jina la Yesu Kristo Mungu nisaidie kutembea na kujua mimi ni nani na nafasi yangu niitumie ipasavyo katika Jina la Yesu kristo nimeomba. Amen!

HAYA NI BAADHI TU YA MAMBO MENGI TULIYOANDIKIWA KWENYE BIBLIA~ILI KUELEWA ZAIDI MAMBO HAYA NA NAFASI YAKO NAKUSHAURI UANZE KWA KUSOMA  KITABU CHA WAEFESO HUKU UKIMWOMBA ROHO MTAKATIFU  AKUSAIDIE  ZAIDI ILI UPATE KUELEWA! MUNGU AKUONGOZE NA AKUBARIKI SANA! AMEN!
Lakini mambo haya Mungu ametufunulia kwa njia ya Roho Wake. Roho huchunguza kila kitu, hata mambo ya ndani sana ya Mungu 1kor 2;10











                                                                                                                                        
ü 0756688789

ü SEME FREDY .A.


TAMBUA WEWE NI NANI?

TAMBUA WEWE NI NANI KTK ULIMWENGU WA  ROHO NA MWILI!
           Wakristo wengi siku hizi wanaishi bila kutambua haki na wajibu wao kwa Mungu, hii imeleta shida kwenye  wokovu wao hata wakaona kuwa wokovu ni mzigo. shetani naye amewapofusha macho wasije wakajua siri ya uwezo na ukuu walionao.Je wajua wewe ni nani?, Na una nafasi gani katika ulimwengu wa roho na mwili ? unajionaje? Wewe ni mshindi au umeshindwa? Je wewe ni dhaifu au mzima? Wewe ni masikini au tajiri? Neno linasema unavyojiona ndivyo utakavyokuwa- Mithali 23;7 unajitamkiaje? Unasema wewe u nani? Neno linasema mtu anakula matunda ya kinywa chake -Mithali 18;20,21 acha kukuri vibaya hata kama unajiona ni dhaifu sema mimi ni hodari Yoeli 3;10.Mara nyingine tunapotea kwa kutokuyajua maandiko wala uweza wa Mungu.Yesu akawajibu, “Mwapotoka kwa sababu hamjui maandiko wala uweza wa Mungu.Mathayo 22;29, Marko 12;24. Hebu tuone sala ya Paulo kwetu Efeso 1;18-23.Kumbuka kila neno lililoandikwa kwenye biblia ni kwa ajili yetu , Paulo anatuombea anasema;
        “Ninaomba kwamba macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mjue tumaini la mwito wake jinsi lilivyo: na utajiri wa utukufu wa urithi wake katika watakatifu jinsi ulivyo, na ubora wa ukuu wa uweza wake ndani yetu tuaminio jinsi ulivyo; kwa kadiri ya utendaji wa nguvu za uwezo wake: aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa roho; juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka, na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia; akivitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa; ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.”
          Maneno haya yanatuambia kwamba Kristo alifufuka na kukalia kiti cha enzi cha Mungu., Je, wajua kwamba unatawala pamoja naye katika huo ulimwengu wa roho? Paulo anathibitisha jambo hili katika ufasaha kwenye maandiko mengine mawili: “akatufufua pamoja naye, katuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu” (Waefeso 2:6); “na ninyimmetimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na mamlaka(Wakolosai 2:10).
         Nataka nikukumbushe mambo ambayo bibilia imesema kutuhusu kuwa sisi ni nani? Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkidumu katika maneno Yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli. Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.’’Yoh 8 31, 32. Hapo sina la kuongezea lakini naamini umejua kuwa kweli (neno) ikilijua linakuweka huru. Bwana Yesu asifiwe!.



MAMBO  YANAYOTUTAMBULISHA.

Ø WEWE NI UZAO MTEULE;.

Je unajua hilo “sema mimi ni uzao mteule” Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungeliwapenda kama vile unavyowapenda walio wake. Kwa sababu ninyi si wa ulimwengu, lakini Mimi nimewachagua kutoka katika ulimwengu, hii ndiyo sababu ulimwengu unawachukia. Yoh 15;19
Si ninyi mlionichagua, bali Mimi ndiye niliyewachagua ninyi na kuwaweka mwende mkazae matunda na matunda yenu yapate kudumu, ili lo lote mtakalomwomba Baba katika Jina Langu, awape.Yoh 15;16
          Lakini ninyi ni taifa teule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu la Mungu, mlioitwa ili kutangaza sifa Zake Yeye aliyewaita kutoka gizani mkaingie katika nuru Yake ya ajabu. Mwanzo ninyi mlikuwa si taifa, lakini sasa ninyi ni taifa la Mungu. Mwanzo mlikuwa hamkupata rehema, lakini sansa mmepata rehema. 1pet 2;9.
Kwa maana alituokoa kutoka katika ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana Wake mpendwa, kol 1;13.

Kwa hiyo sisi tumehamishwa kutoka kwenye mambo ya dunia na kuingizwa katika ufalme au uraia mwingine ( katika ulimwengu war oho), japo bado tunaishi duniani lakini wenyeji wetu ni mbinguni, sawasawa na mtu anayeishi Malawi lakini ni mwenyeji wa Tanzania haimaanishi  yeye ni mmalawi. Kwahiyo usizifuate tabia za wamalawi yafikirini yaliyo juu siyo chini. Amen.
    Ikiwa umeokoka, tembea ukijua wewe ni tofauti na wengine na si lazima ufanye kila linalofanywa na wengine maana mengine si yanyoruhusiwa kwenye utaifa au uraia wako!, na kwa kufanya hivyo ulimwengu utakuchukia ,sisemi ujivune au ujibague  bali ujue kuwa kuna mambo ambayo watu wengine watafanya lakini wewe hutafanya maana una “speed governor” inayokuongoza na hii yamkini itasababisha ulimwengu kukuchukia! Take care, weka moja kichwani!!.

Ø WEWE NI MTAKATIFU;

“sema mimi ni mtakatifu’ mtakuwa watakatifu kama mimi nilivyo mtakatifu Lawi 19;2 mahali pengine anasema mtakuwa wakamilifu maana mimi ni mkamilifu pia biblia inasema katika zaburi- watakatifu waliopo duniani ndio ninao pendezwa nao.Pokea ahadi hiyo ni yako jua unayezungumziwa ni wewe mototo wa mungu usione hili neno aliyeandikiwa nimwingine, ni wewe mwenyewe. Kama unaamini kuwa una roho mtakatifu basi pia amini kuwa wewe ni mtakatifu kwa sababu roho mtakatifu hakai mahali palipo pachafu. Kwa habari ya Watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao. Zab 16;3 kama wewe hutaki kujikubali kuna watu Mungu anawakubali na unavyo jiona ndivyo utakavyo kuwa kumbuka hilo pia. Kwa hiyo iweni wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.’’Mathayo 5;48. Mpendwa umeshakombolewa na kusafishwa kwa damu yake ambayo haikumwagika bure bali ni kwa kututakasa . Katika Yeye tunao ukombozi kwa njia ya damu Yake, yaani, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema Yake Efeso1;7,4.
                                                                                 
Ø WEWE NI MWANA AU MTOTO WA MUNGU;

          Wewe si mtu wa Mungu bali u mwana! “sema nimefanyika kuwa mwana na nimehesabiwa haki”. Bali wote waliompokea, aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio Jina Lake. Hawa watoto wamezaliwa si kwa damu wala kwa mapenzi ya mwili au kwa mapenzi ya mtu, bali kwa mapenzi ya Mungu. Yoh 1;12
        Naamini na wewe unafanya hivyo yaani ulimpokea na unaamini,basi umefanyika kuwa mwana na kama ujuavyo mtoto wa kondoo ni kondoo, na mwana wa Mungu ni mungu mdogo!Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu ya kwamba sisi tu watoto wa Mungu.  Basi ikiwa sisi ni watoto, basi tu warithi, warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo, naam, tukiteswa pamoja Naye tupate pia kutukuzwa pamoja .Rum 8;16 sisi warithi wa Mungu walithio pamoja na Kristo,kwa hiyo sisi sio watoto wa kambo kwa Mungu bali ni wana na ndio maana ni warithi pamoja na Kristo maana mtoto hana fursa ya kurithi.
 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio watoto wa Mungu.Rum 8;14 Je wewe unaongozwa na roho? Kama ni jibu ni ndiyo-safi! maana wewe ni mwana wa Mungu.
       Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ndiye Kristo amezaliwa na Mungu na ye yote ampendaye Baba humpenda pia mtoto aliyezaliwa naye.Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri Zake.Kwa kuwa huu ndio upendo wa Mungu, kwamba tuzitii amri Zake. Nazo amri Zake si nzito.Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kuushinda kuushindako ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu.Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.1yoh 5;1-4
           Oneni ni pendo kuu namna gani alilotupa Baba, kwamba sisi tuitwe watoto wa Mungu! Nasi ndivyo tulivyo. Sababu kwa nini ulimwengu haututambui, ni kwa kuwa haukumtambua Yeye. 1yoh 3;1
Ninyi ni rafiki Zangu mkifanya ninayowaamuru. Siwaiti ninyi watumishi tena, kwa sababu watumishi hawajui bwana wao analofanya, bali nimewaita ninyi rafiki, kwa maana nimewajulisha mambo yote niliyoyasikia kutoka kwa Baba Yangu.Yoh 15;14,15. Kwa hiyo kwetu Yesu ni Baba pia ni rafiki.
                                                                                                                            

Ø WE NI KUHANI NA MFALME ;

Sema mimi ni kuhani tena ni mfalme”unajua kazi ya kuhani namfalme? Najua unajua lakini makuhani enzi hizo ni watu ambao ndio tu waliokuwa wakirusiwa kuingia patakatifu lakini sasa nasi tumefanyika kuwa makuhani tunapaingia patakatifu kwa damu ya Yesu! Ufunuo 5;10 ,1;6 lakini kama ujuavyo mfalme ni mtu mwenye mamlaka, hatutegemei  mfame akiomba bali anaamuru Bwana Yesu asifiwe!.Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani wa kumtumikia Mungu wetu,  nao watamiliki katika dunia.’’ Ninyi mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa Israeli.  Kutoka19;6 . Nabii Isaya alikuwa ameona akasema, Nanyi mtaitwa makuhani wa BWANA,mtaitwa watumishi wa Mungu wetu.  Mtakula utajiri wa mataifa, nanyi katika utajiri wao mtajisifu.Isaya 61 ;6

Ø WEWE NI KIUMBE KIPYA;

 Ya kale yote  yamepita, iambie nafsi yako mimi ni kiumbe kipya! 2kor 5;17
Kwa hiyo kama mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya, ya kale yamepita, tazama, yamekuwa mapya. Kwa hiyo kuwa huru kwa mambo yaliyopita usikumbuke Misri wala usitamani nyama za Misri hata kama kuna dhambi kubwa ulitenda jua Mungu haikumbuki maana amesema uovu wenu sitaukumbuka kamwe kwa hiyo hajui dhambi uliyotenda na anakushangaa. Anasema dhambi zenu zitakuwa nyeupe. Nimesulibiwa pamoja na Kristo, wala si mimi tena ninayeishi bali Kristo ndiye aishiye ndani yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi kwa imani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda na kujitoa kwa ajili yangu Gal 2;20.

Ø UMEBARIKIWA PAMOJA NA IBRAHIMU!

Sema hivyo ili ule matunda ya midomo yako Gal3;9 Kwa sababu hii, wale wote wanaoamini wanabarikiwa pamoja na Abrahamu, mtu wa imani. Hiii ni kwa sababu wewe unaamini kama Ibrahimu aliyekuwa akimwamini Mungu. Rum8;17 Basi ikiwa sisi ni watoto, basi tu warithi, warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo, naam, tukiteswa pamoja Naye tupate pia kutukuzwa pamoja Naye.

Kwa hiyo, ahadi huja kwa njia ya imani, ili iwe ni kwa neema na itolewe kwa wazao wa Abrahamu, si kwa wale walio wa sheria peke yao bali pia kwa wale walio wa imani ya Abrahamu. Yeye ndiye baba yetu sisi sote. Rum 4;16 kwa hiyo lazima uamini na kuipokea ahadi hiyo ndipo itakuwa yako~maana anasema ahadi huja kwa njia ya Imani.
Kwa hiyo, wewe si mtumwa tena, bali ni mtoto, nawe ikiwa ni mtoto, basi wewe pia ni mrithi, mrithi wa Mungu. Gal 4;7


Ø UWEZO WA YESU NI UWEZO WAKO!

Sema nayaweza mambo yooote katika Yeye anitiayanguvu Fil 4;13
Nanyi ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu. .Rum 8;11 

 Yoh 14;12 Amin, amin, nawaambia, ye yote aniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo yeye atazifanya, naam na kubwa kuliko hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba.Efeso 1;20 na uweza Wake mkuu usiolinganishwa kwa ajili yetu sisi tuaminio. Uweza huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na ile nguvu kuu mno Mungu alitufufua pamoja na Kristo na kutuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu,Efeso 2;6

Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo aliyetubariki sisi kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho ndani ya Kristo. Efeso 1;3 hizi ni Baraka za rohoni ambazo ni kubwa kuliko zile za mwilini  ukiwa nazo hata kimwili umefanikiwa 3yoh 1;2 .13Tunajua kwamba twakaa ndani Yake na Yeye ndani yetu, kwa sababu ametupatia sisi sehemu ya Roho Wake. 1yoh 5;13

Ø WEWE UNA MAMLAKA;

“Nina mamlaka” Mathayo 16;19 Yesu akiisha kuwaita wale kumi na wawili pamoja, aliwapa mamalaka na uwezo wa kutoa pepo wachafu wote na kuponya magonjwa yote, kisha akawatuma waende wakahubiri Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa. Luka 9;1
Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. 3Nao Yoh 17;2
Tazama nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na ng’e na juu ya nguvu zote za adui, wala hakuna kitu cho chote kitakachowadhuru kwa namna yo yote.Luka 10;19

Ø WEWE NI MSHINDI;

Washindi Bwana Yesu asifiwe! Rum 6;14 1yoh 5;18 Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake, juu ya mti, ili kwamba,tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tupate kuishi katika haki. Kwa kupigwa kwake, ninyi mmeponywa.1pet2;24
Nanyi ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu. Rum 8;11
Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu. Mtu ye yote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo. Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi hai kwa sababu ya haki.Rum 8;9 na kwasababu Yesu alishinda kwa habari ya dhambi na mauti nasi vivyo hivyo nasi ni washindi kwani tunamwamini mshindi nay eye yuko ndani yetu!

Ø WEWE UNA UUNGU NDANI YAKO;

 Rum 8;29 Nanyi ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu. Rum 8;11 roho wa Mungu anakaa ndani yetu.
Uweza Wake wa uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake mwenyewe 2pet 1;3 Kisha BWANA akamwambia Mose, “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu kwa Farao, naye Aroni, huyo ndugu yako, atakuwa nabii wako. Kutoka 7;1

Ø WEWE NI NURU NA CHUMVI PIA;

Mathayo 5;14 Ninyi ni nuru ya ulimwengu.
 Yoh 8;12Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru katika Bwana. Enendeni kama watoto wa nuru (kwa kuwa tunda la nuru hupatikana katika wema wote, haki na kweli,) nanyi tafuteni yale yanayompendeza Bwana. Msishiriki matendo ya giza yasiyofaa, bali yafichueni.  Efeso 5;8-11. ‘‘Ninyi ni chumvi ya ulimwengu. Lakini chumvi ikipoteza ladha yake, yawezaje kurudishiwa ladha yake tena ? Haifai tena kwa kitu cho chote, ila kutupwa nje ikanyagwe na watu. Math 5;13

Ø WEWE NI TAJIRI;

2kor 8;9 Kwa maana mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ingawa alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikubali kuwa maskini, ili kwa umaskini Wake ninyi mpate kuwa matajiri.
 kol 1;13 1yoh 4;43 Ikiwa Mungu hakumhurumia Mwanawe, bali alimtoa kwa ajili yetu sote, atakosaje basi kutupatia vitu vyote kwa ukarimu pamoja Naye? Rum 8;32 Hivyo basi, mtu asijivune kuhusu wanadamu! Kwa kuwa vitu vyote ni vyenu, ikiwa ni Paulo au Apolo au Kefa au dunia au uzima au mauti, au wakati uliopo au wakati ujao, haya yote ni yenu na ninyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu. 1kor 3;21-23

                                                      
Ø WEWE NI HEKALU,KIUNGO NA TAWI;

Je, hamjui ya kwamba ninyi ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? Kama mtu ye yote akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza mtu huyo, Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu,
ambalo ndilo ninyi.1kor 3;16 Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya Kristo? 1kor 6;15. Miili yetu ni hekalu na si hekalu letu sisi bali ni la roho mtakatifu na tumeazimwa tu, bali tuifanyie kazi vizuri ili mmiliki (roho mtakatifu) afurahi siku zote!.Mahali pengine anasema mimi ni mzabibu nanyi ni matawi.

                                           
Ø WEWE NI RUNGU LA BWANA LA VITA;

Mungu anasema kuwa wewe ni Silaha yangu ya vita  kwa wewe navunjavunja mataifa,kwa wewe naangamiza falme, kwa wewe navunjavunja farasi na mpanda farasi, kwa wewe navunjavunja gari la vita na mwendeshaji wake, kwa wewe napondaponda mwanaume na mwanamke,  kwa wewe napondaponda mzee na kijana,  kwa wewe napondaponda kijana wa kiume  na mwanamwali,  kwa wewe nampondaponda mchungaji na  kundi, kwa wewe nampondaponda mkulima na maksai, kwa wewe nawapondaponda watawala na maafisa. “Mbele ya macho yako nitamlipiza Babeli na wote waishio Ukaldayo kwa ajili ya makosa yote waliyofanya katika Sayuni,’’ asema BWANA.Yer 51;20-24



v KUKIRI

Baba Mungu mfalme wa wafalme uketie mahali pa juu palipo inuka sana, asante kwa neno lako lililonifikia leo ili kunijulisha na kunikumbusha nafasi yangu ! Neno lako linasema nitakula matunda ya midomo yangu nami najitamkia na najitambua kuwa mimi ni uzao mteule,mimi ni mtakatifu, mimi ni tajiri,mimi ni mzima,mimi ni mshindi,mimi ni rungu lako Bwana,mimi ni chumvi na Nuru ya kuwaangazia wengine,mimi ni mshindi na nina mamlaka, mimi ni kuhani na mfalme katika jina la Yesu Kristo Mungu nisaidie kutembea na kujua mimi ni nani na nafasi yangu niitumie ipasavyo katika Jina la Yesu kristo nimeomba. Amen!

HAYA NI BAADHI TU YA MAMBO MENGI TULIYOANDIKIWA KWENYE BIBLIA~ILI KUELEWA ZAIDI MAMBO HAYA NA NAFASI YAKO NAKUSHAURI UANZE KWA KUSOMA  KITABU CHA WAEFESO HUKU UKIMWOMBA ROHO MTAKATIFU  AKUSAIDIE  ZAIDI ILI UPATE KUELEWA! MUNGU AKUONGOZE NA AKUBARIKI SANA! AMEN!
Lakini mambo haya Mungu ametufunulia kwa njia ya Roho Wake. Roho huchunguza kila kitu, hata mambo ya ndani sana ya Mungu 1kor 2;10











                                                                                                                                        
ü 0756688789

ü SEME FREDY .A.